google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Davido, Burna Boy Wachapana Makonde Night Club – Video | UDAKU SPECIAL

Davido, Burna Boy Wachapana Makonde Night Club – Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MASTAA wawili wakubwa barani Afrika ambao wote ni raia wa Nigeria, Damini Ebunoluwa Ogulu ‘Burna Boy’ na mwenzake David Adedeji Adeleke ‘Davido’,  wameripotiwa kupigana huko nchini Ghana wakati wakiwa kwenye Night Club usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Desemba 28, 2020.

 

Manguli hawa wa muziki wamekuwa na uhasama wa kurushiana maneno kwa muda mrefu kupitia mitandao ya kijamii, lakini jana mambo yalikwenda tofauti mpaka wakaamua kuvaana live.


Clip moja ya video kwenye mtandao wa Twitter imeonekana kuunga mkono ripoti hizo ambapo ilimnasa mtu mmoja mwenye hasira aliyeonekana kama Davido akimsukuma mtu mwingine ambaye alionekana kama Burna Boy.  Hata hivyo, sababu ya mapigano hayo haijaelezwa hadi sasa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad