Dk Mwinyi avunja bodi ya wakurugenzi shirika la meli na uwakala Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amvunja bodi ya wakurugenzi wa shirika la meli na uwakala.

Taarifa iliyotolewa leo Jumanne Novemba 15, 2020 na katibu kiongozi, Dk Abdulhamid Mzee inaeleza kuwa kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na Serikali kutoridhishwa na uendeshaji na utendaji wa shirika hilo.


Jana kiongozi huyo alitengua uteuzi wa  katibu wa rais, Suleiman Ahmed Saleh ikiwa umepita mwezi mmoja tangu alipomteua ikielezwa kuwa sasa atapangiwa kazi nyingine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad