DPP Afafanua Alivyomtoa Gerezani Kada CHADEMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MKURUGENZI wa mashtaka nchini Tanzania (DPP), Biswalo Mganga, leo Jumatano Desemba 2, 2020, ameeleza kuhusu uamuzi wake wa kumfutia mashtaka kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Nusrat Hanje,  ambaye Novemba 27, 2020 alivuliwa uanachama wa chama hicho pamoja na wenzake 18.

 

Akizungumza na wanahabari katika Gereza Kuu la Karanga mjini Moshi, Mganga amesema alimwachia kada huyo kwa mamlaka aliyonayo chini ya kifungu cha 91 cha Kanuni za Makosa ya Jinai cha mwaka 2002.

 

 

Ametoa kauli hiyo wakati akitoa taarifa ya kuwafutia mashtaka watuhumiwa 72 ambao walikidhi sifa za kufutiwa mashtaka kutokana na sababu mbalimbali zikiwamo za kubambikiwa makosa.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Asante Biswalo kwa taarifa.

    Wanasasa do not politicise.

    ReplyDelete

Top Post Ad