AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Mtandao wa TechCrunch, huduma mbalimbali zinazotolewa na #Google zikiwemo Gmail, Google Drive na #YouTube zilisumbua kwa baadhi ya nchi
Baadhi ya mataifa yaliyoathirika ni pamoja na Marekani, Canada, India na Afrika Kusini. Shambulio lilidumu kwa dakika 45, hali iliyosababisha baadhi ya huduma kusumbua hadi iliposhughulikiwa
Msemaji wa Kampuni hiyo amekiri tatizo hilo kutokea akisema huduma zote zimerejea. Aidha, Google imesema itafuatilia kilichotokea ili kuhakikisha suala hilo halijirudii siku za mbele
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK