Haji Manara Anatarajia Kufunga ndoa na Mchumba Wake leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara, mapema jana amethibitisha kuwa ifikapo siku ya leo Alhamisi, tarehe 10, anatarajia kufunga ndoa na mchumba wake aliyemtambulisha kwa jina Naheeda.

Haji amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba ndoa hiyo itafungwa katika msikiti wa Maamur na sherehe zitaendelea hapa hapa jijini hadi siku ya Jumamosi.


“Watu wangu wa nguvu karibuni katika harusi yangu itakayofungwa kesho Masjid Maamur na Ktk sherehe mbali mbali zitakazofanyika hapa Dar Inshaallah!!


"Lakini kubwa kwa wale wasiokuwa invited kuangalia Tafrija kubwa itayorushwa live na Channel ya sinemazetu ya Azamtv, tokea katika hoteli ya Serena siku ya Jumamosi!!


"Naomba Dua zenu Ndoa yetu iwe ya kheri na tuishi kwa amani na furaha mm na Laaziiz wangu kipenzi Naheeda” ameandika Manara.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Haji, Inshallah M/Mungu ajaalie ndoa ya Kheri na Masikilizano.

    Mungu akujalieni kizazi Chema, Tuko pamoja kesho inshallah.

    ReplyDelete

Top Post Ad