Hii Hapa Inawahusu WALE Wavamizi wa Viwanja...Sheria Inasema Ukivamia Kiwanja na Mmiliki Asipojitokeza Miaka 12 Basi Kinakuwa Chako

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


#UNAAMBIWA: Kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi ya Tanzania, Mtu akivamia Ardhi ya mwingine na kuiendeleza kwa muda wa miaka 12 pasipo kuzuiwa na aliyekuwa Mmiliki wa awali basi Ardhi hiyo itakuwa ni Mali halali ya Mvamizi huyo...unashauriwa usiitelekeze kwa muda mrefu ardhi yako maana unaweza kuipoteza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad