Hoteli ya Kitalii ya Ngurdoto Yageuzwa Hosteli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




HOTELI ya kitalii ya Ngurdoto Mountain Lodge yenye hadhi ya nyota tano iliyopo Arumeru mkoani Arusha, imegeuzwa hosteli ya Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) baada ya kufungwa kwa siku kadhaa kutokana na ukosefu wa wateja, baada watalii kutoka nje kupungua kutokana na janga la ugonjwa wa virusi vya corona, Covid-19 duniani.

 

 

Mkuu wa chuo hicho, Profesa Eliamani Sedoyeka, amethibitisha chuo chake kuingia mkataba na Kampuni ya Landmark inayoisimamia hoteli hiyo na kwamba wamepata nafasi ya kutosha malazi ya wanafunzi 1,000, huku kila mmoja akitakiwa kulipa sh. 400,000 kwa mwaka.

 

 

Ameongeza kwamba wanaendelea na mazungumzo ya kutumia kumbi za mikutano hotelini hapo kama madarasa huku pia wakifikiria kuongeza vitanda vitakavyowatosha wanafunzi 2,000.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad