AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, chini ya Lebo ya Konde Gang Music Worldwide, Ibrahim Abdul ‘Ibrah’ ametangaza balaa la kufunga mwaka kwa kuachia ngoma tatu kwa mpigo ambazo amezipa jina la Karata Tatu.
Akizungumza na Amani juu ya ujio ya ngoma zake hizo Ibrah amesema kuwa, kwa upande wake anafanya hivyo ili kuweza kuwapatia mashabiki wake kitu ambacho wanakipenda.
“Karata Tatu imesheheni nyimbo kama Mapenzi, Upande na Nimpende. Nimeamua kufanya hivyo ili kuweza kuwafurahisha mashabiki wangu,” alisema Ibrah.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK