Irene Paul Humwambii Kitu kwa Shilole "Anajua Kulitumia Jina Lake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


STAA wa filamu za kibongo, Irene Poul amewakata vilimi mastaa wa kike wa Bongo kwa kuwaambia kuwa hakuna staa mkubwa Bongo kama Zuwena Mohammed ’Shilole’.


Akizungumza na AMANI, Irene amesema kuwa mwanamama Shilole ni mfano wa kuigwa kwani anajua kutengeneza jina lake na ni mtafutaji kweli kweli. “ Kubali ukatae Shilole anajua kulitumia jina lake kwenye mambo ya faida, pia ni mwanamke ambaye anajua kuishi maisha yake,”alisema Irene Poul.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad