AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
STAA wa filamu za kibongo, Irene Poul amewakata vilimi mastaa wa kike wa Bongo kwa kuwaambia kuwa hakuna staa mkubwa Bongo kama Zuwena Mohammed ’Shilole’.
Akizungumza na AMANI, Irene amesema kuwa mwanamama Shilole ni mfano wa kuigwa kwani anajua kutengeneza jina lake na ni mtafutaji kweli kweli. “ Kubali ukatae Shilole anajua kulitumia jina lake kwenye mambo ya faida, pia ni mwanamke ambaye anajua kuishi maisha yake,”alisema Irene Poul.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK