JPM: Mpaka leo nilitakiwa niwe nimenyonga watu 256 waliohukumiwa kunyongwa, sijanyonga hata mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Mpaka leo nilitakiwa niwe nimenyonga watu 256 waliohukumiwa kunyongwa, sijanyonga hata mmoja, nawapunguzia kifungo chao cha kunyongwa sasa wafungwe maisha, wapo waliohukumiwa kunyongwa kwasababu mwingine aliua, labda mwingine alua mmoja au mwingine aliua wawili, mimi sheria inaniambia niue 256, nani mwenye dhambi zaidi?” Rais. Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad