AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Serengeti Boys leo amewapongeza wasanii wa muziki wa Bongo Fleva ambao wanaunda kundi la Navy Kenzo kwa kuanzisha Academy ya mpira wa miguu ambayo inafanya vizuri kwa sasa.
Akiongea na bongo5 amesema kuwa Academy hiyo ya Navy Kenzo Academy imetoa wachezaji watatu wanaounda timu hiyo ya taifa ya chini ya miaka 17 ambayo inajiandaa kwenda kushiriki mashindano ya AFCON nchini Rwanda.
Mbali na kuwapongeza Navy Kenzo pia amemuomba Diamond asikate tamaa na kuacha kuandaa Academy yake ambayo alitangaza ataianzisha muda sio mrefu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK