Lady JayDee Achafukwa na Industry ya Muziki Tanzania, Afunguka Haya..Wakazi Adakia na Kugandamizia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Lady Jay Dee ameandika haya kupitia Twitter kuhusu Game ya mziki Tanzania:


Sasa baada ya kuandika hayo , Wakazi Kafunguka Haya Kupitia Instagram:


"Kwa sababu bongo huwa tuna tabia ya kuchagua Mjumbe, ndio tuamini Ujumbe hata kama unafanana na wa msiyemkubali.

HAYA SASA MANENO YA DADA MKUU HAYO... Pengine ndio mtaelewa.

Industry inaumwa na inahitaji kutibiwa. Ila wapo wanaojifanya kuitibu au kudai iko sawa, wao hawajioni kuwa ni sehemu ya matatizo ila ni wa kwanza kunyooshea vidole wengine. Wanafiki wakubwa... NARUDI TENA, Kama tunadhani muda wa kuiponya Tasnia umefika, basi tukae mezani na tuongee ukweli. Otherwise don't speak at all." Wakazi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad