Lulu Diva Awadhihaki Wanaomsema Anaedit Sana Picha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Diva wa BongoFleva Lulu Diva amewajibu mashabiki wanaomsema kwamba aache kuji-edit kwenye picha zake anazo-post kwenye mitandao ya kijamii kwani anapoteza mvuto na uhalisia wake.

 

Akiwajibu kuhusiana na hilo kwenye ukurasa wake wa Instagram Lulu Diva amesema watu watafute pesa ili wanunue simu nzuri na waache kusema mastaa kwamba wanaji-edit sana.


"Rafiki yangu tafuta hela na ununue simu nzuri uache porojo za huyu naye anaji-edit sana" ameandika Lulu Diva


Msanii huyo kwa sasa anatamba na wimbo wake wa hauna maajabu alioutoa siku za hivi karibuni na unafanya vizuri kwenye vituo vya Radio na TV, Club na wadada wanautumia sana kujirekodi video fupi na ku-post mitandaoni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad