Maestro: Morrison Ana Matatizo Kichwani, Azam Kuna Mgogoro Mkubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MCHAMBUZI maarufu wa masuala ya soka nchini, Ibrahim Maestro, amemchambua mchezaji wa Simba, Bernard Morrison kuhusu vitendo vyake vya utovu wa nidhamu ndani na nje ya uwanja huku akidai kuwa, huenda mchezaji huyo ana matatizo….

Maestro akipiga stori na Global TV Online amefunguka kuhusu mwenendo wa Klabu ya AZAM ambayo imekuwa ikipoteza michezo yake mingi na kutoa droo licha ya kuanza vizuri mechi za awali lakini kwa sasa imeporomoka.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad