google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Majaliwa Amuombea Nafasi ya PILI Aliyeshindwa Kuapa | UDAKU SPECIAL

Majaliwa Amuombea Nafasi ya PILI Aliyeshindwa Kuapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Wizara sasa imepata watu ambao wanaifahamu, eneo hili mh rais sio eneo la mzaha mzaha sana, kwa hiyo yaliyotokea juzi siyo tu Lindi bali tuendele kumuombea kijana wetu,(Ndulane) naamini bado unaweza ukaangaliaangalia, lakini niendelee kusema tu kwamba Wizara ya Madini sasa imepata watu ambao wanaifahamu” Waziri Mkuu Kassi Majaliwa.


Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo leo Desemba 11, kwenye hafla ya kumuapisha Naibu Waziri wa Madini, Prof.Shukurani Manya aliyeteuliwa kuchukua nafasi ya, Francis Ndulane aliyeshindwa kuapa juzi na uteuzi wake kutenguliwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad