Mama Aua Watoto 3 Kwa Kuwapa Maembe Yenye Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Regina Daniel (24), mkazi wa Louxmanda Manyara anatuhumiwa kuwauwa Watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodhaniwa kuwa ya Panya

-

Kamanda wa Polisi Mkoani humo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema chanzo cha Mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia kati ya Regina na mume wake

-

Watoto waliopoteza maisha ni Emmauel Agustino (7), Emiliana Agustino (4) na Elisha Agustino ambaye umri wake ni mwaka mmoja (1)

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad