AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Regina Daniel (24), mkazi wa Louxmanda Manyara anatuhumiwa kuwauwa Watoto wake watatu kwa kuwalisha maembe yenye sumu inayodhaniwa kuwa ya Panya
-
Kamanda wa Polisi Mkoani humo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema chanzo cha Mauaji hayo ni ugomvi wa kifamilia kati ya Regina na mume wake
-
Watoto waliopoteza maisha ni Emmauel Agustino (7), Emiliana Agustino (4) na Elisha Agustino ambaye umri wake ni mwaka mmoja (1)
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK