Marekani yaidhinisha matumizi ya dharura ya chanjo ya Pfizer

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya Corona Virus kutoka Pfizer na BioNTech.
Rais Donald Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini ya saa 24. Watu zaidi ya 292,000 wamefariki dunia kutokana na COVID19 Marekani.

Chanjo hiyo imeidhinishwa katika mataifa mbalimbali yakiwemo Uingereza, Saudi Arabia, Bahrain na Canada.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad