AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya Corona Virus kutoka Pfizer na BioNTech.
Rais Donald Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini ya saa 24. Watu zaidi ya 292,000 wamefariki dunia kutokana na COVID19 Marekani.
Chanjo hiyo imeidhinishwa katika mataifa mbalimbali yakiwemo Uingereza, Saudi Arabia, Bahrain na Canada.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK