Martin Kadinda "Diamond kwa sasa ni kama Michael Jackson, huwezi kumuita tena msanii kama wengine"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunifu wa mavazi hapa Tanznaia @martinkadindaofficial ambaye ndio alikuwa mmoja ya wabunifu wa kwanza kuanza kufanya kazi na @diamondplatnumz amezungumza kuhusu mafanikio ya @diamondplatnumz kwa sasa ambapo amemfananisha na mrehemu mkali wa POP duniani Michael Jackson



Mbali na hilo @martinkadindaofficial amezungmzia kuhusu mavazi yake ya kijeshi aliyoingia nayo kwenye show ya swahili fashion na kusema maemuunga mkono Rais Magufuli kuhusu kuwa mzalendo na kulinda nchi yako.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad