Mashabiki wamshambulia Gigy Money baada ya kulalamikia matunzo kwa Mo Jay, Uza gari hama Masaki njoo Manzese

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Usiku wa kuamkia leo ilisambaa video ambayo ilimuonyesha msanii wa muziki wa bongo Fleva @gigy_money_og akimlalamikia Baba mtoto wake @moj360 kuwa hatoe matumizi na hana mpango na mtoto wake.

Kupitia video hiyo mashabiki waliamua kutoa ushauri wao kwa kumshauri kuwa Ahame Masaki na auze gari yake ahamie Manzese ili apate hela ya kumpeleka mtoto wake hospitalini badale ya kumtegemea @moj360 .

Mbali na hilo Mtangazaji wa clouds media @soudybrown alitoa amoni yake kwa kumuuliza @gigy_money_og mbona anaonekana kwenye Tamasha fulani inamana hapati pesa mpaka kufikia hatua ya kulalamika kuwa hana hela na mwanaume hataki kuhudumia mtoto wake ?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad