Mavoko "Ngoma Zangu Zitaongea Siyo Mimi Sipendi Mambo ya Kiki Kama Ule Upande Mwingine"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MKALI wa ngoma za kuyaimba mapenzi kupitia Bongo Fleva, Rich Mavoko amesema kukaa kwake kimya bila kuwa na makeke mitandaoni amefanya makusudi kwa kuwa anahitaji zaidi kazi zake ziongee.


Mavoko ambaye aliwahi kuwa memba wa WCB kabla hajachomoka na kufanya kazi kivyake, alisema kuwa, kujianika
maisha yake binafsi na skendo mtandaoni hayana nafasi kwa sasa katika maisha yake, zaidi anahitaji kuacha mashabiki wake wapate wanachostahili.


Akizungumza na Championi Jumamosi, Mavoko alisema: “Nataka kazi zangu zisikike zaidi uliko kufanya maisha ya uongo hasa ya skendo, hayo mambo kwa sasa hayana nafasi kwangu, naamini kwenye muziki wangu najua nikiongeza kasi kidogo nitafika sehemu ninayoitaka.”


Mavoko alianza mwaka 2020 kwa kuachia mintape ambayo ina nyimbo nane, ambazo kwa kiasi kikubwa zimemsogeza juu, mikwaju kama Bad Boy, Wa Moto, Niwahi na mangoma mengine ambayo yanafanya poa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad