Mbunifu wa Kifaransa Pierre Cardin afariki dunia akiwa na umri wa miaka 98

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





 Chuo cha Sanaa cha Ufaransa kimesema Pierre Cardin, mbunifu wa Kifaransa ambae ni miongoni mwa waliotamba katika ulimwengu wa mitindo wakati wa karne ya 20, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 98. 
Kwa kutumia ubunifu, Cardin, alitengeneza bidhaa mbalimbali kuanzia saa za mkononi hadi mashuka ya vitandani na kufanya nembo yake kuwa moja kati ya maarufu zaidi duniani. 

Bidhaa za chapa yake ziliuzwa zaidi katika miaka ya 1970 na 80, ingawa kiwango hicho kilishuka pia kwa kiwango kikubwa katika miongo ya baadae.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad