AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KOMEDIANI ambaye ni Mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan, amejikuta akidaiwa pesa jukwaani na baadhi ya mashabiki waliohudhuria kwenye mchakato wa BSS unaondelea.
Mashabiki hao walifanya hivyo baada ya Idris kuchikichia pesa za washiriki walizotunzwa walipokuwa wakiimba jukwaani.
Mashabiki hao walikuwa wakipaza sauti kumtaka Idris kuwapa wahusika pesa hizo, lakini mwenye alijifanya kama vile hawasikii.
Hata hivyo, baadaye Idris alijitetea; “Watu wamekuja hapa kuimba, siyo kazi yao kuchukua pesa zinazotunzwa.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK