Mchezaji Niyozima Bado Yupo Sana Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Klabu ya Yanga imemuongezea mkataba kiungo wake Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, kuendelea kukipiga Jangwani, lakini uongozi wa timu hiyo haujaweka ni mkataba wa muda gani.


Niyonzima aliyerejea Yanga katika kipindi cha dirisha dogo msimu uliopita, ameongezewa mkataba huo baada ya awali kuwepo kwa tetesi za kuachwa na kikosi kutokana na kukosa na namba ya kudumu katika kikosi cha kwanza.


“Klabu yetu ya Yanga leo tumeongeza Mkataba na Kiungo wetu Niyozima, Fabregas bado yupo yupo sana jangwani,”. Yanga

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad