Mfahamu Mwanawake Anayedai Ana Makalio Makubwa Zaidi Afrika Magharibi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



INAONEKANA Afrika Magharibi iko mstari wa mbele katika ulimwengu ambao kinamama wake wanadai au kudaiwa kuwa na makalio makubwa zaidi. Kwa miaka mingi,  wanawake wengi ambao wamekuwa wakionyesha makalio yao makubwa katika mitandao ya kijamii, wamekuwa ni wa nchi za Afrika Magharibi. 

Picha moja ambayo iko katika mtandao imekuwa ikiwashangaza na kuwaacha watu wengi midomo wazi baada ya kuiona.

Kimwana mwenyewe anaitwa Nice Eudoxie Yao, ambaye ni mwigizaji, modo, mtangazaji wa televisheni na mtaalamu wa urembeshaji. 


 Mdada huyo mwenye mvuto mkubwa ambaye ni raia wa Cote d’voire, hasifiki tu kuwa na makalio makubwa, bali pia ana ‘hips’ kubwa zilizojitokeza na hivyo kumfanya awe na shepu yenye mwonekano wa kuvutia ajabu. 


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad