AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar limesema, Mfanyabiashara aliyefahamika kwa jina la Nasir Shabani (51) amejiua kwa kujipiga risasi kwa kutumia bastola aina ya Revolver
-
Tukio hilo limetokea jana usiku maeneo ya Ubungo Kibangu na kwa mujibu wa mashuhuda, imeelezwa kuwa Marehemu alijiua kutokana na msongo wa mawazo
-
Katika tukio lingine, Jeshi la Polisi pia limethibitisha kuuawa kwa jambazi ambaye alikuwa akishirikiana na wenzake wawili waliofanikiwa kukimbia kufanya uhalifu jijini Dar na mikoa ya jirani
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK