Miss Tanzania kujulikana leo, hili ndilo gari atakalokabidhiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Fainali ya Shindano la Miss Tanzania 2020 litafanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa Mwl. Nyerere (JNICC) Posta Jijini Dar es Salaam.
Pichani ni gari aina ya Subaru Impreza lililoandaliwa kama zawadi kuelekea fainali za Mashindano ya Miss Tanzania kwa mwaka huu.

Kwa mrembo mwenye vigezo atakayeibuka mshindi na kuvishwa taji rasmi la Miss Tanzania 2020 atakuwa na uhalali wa kuondoka nalo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad