Mr Kuku Aachiwa, Baada ya Kulipa Faini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Desemba 17, 2020, imemwachia huru Tariq Machibya (29) almaarufu Mr Kuku baada ya kulipa faini ya shilingi milioni tano huku fedha kiasi cha shilingi bilioni 5.4 zilizokuwa kwenye akaunti yake zikitaifishwa.

Mahakama hiyo jana ilimhukumu mfanyabiashara huyo kulipa faini ya sh. milioni tano au kwenda jela miaka mitano baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mawili ambayo ni kujihusisha na biashara ya upatu kwa kukusanya fedha kutoka kwa umma na kukubali kupokea miamala ya fedha bila ya leseni.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad