Mrembo Maarufu Afariki Dunia Baada ya Zoezi la Upasuaji Kuongeza Makalio Kufeli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mrembo Joselyncano maarufu kama Kim Kardashian wa Mexico amefariki baada ya kufeli kwa zoezi la upasuaji wa makalio kupendezesha mwili wake, mitandao imeripoti.


Mrembo huyu maarufu aliekua na followers MILIONI 13 kwenye Instagram aliubadili mwili wake kwa kufanya upasuaji mara kadhaa ili kupendeza zaidi na kuwa na mvuto ambapo Ripoti zinasema amefia Colombia akiwa na umri wa miaka 29.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad