AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Namungo FC wawakilishi wa Tanzania katika michuano Kombe la Shirikisho la Afrika hii leo watakuwa ugenini nyumbani katika dimba la Azam Complex Chamazi kucheza mechi ya marudio ya kombe hili dhidi ya Al Rabita.
Namungo wataingia katika mchezo huu wakiwa wametanguliza mguu mmoja hatua inayofuata kwani wana hazina ya magoli 3 - 0 waliyopata katika mechi ya kwanza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK