Namungo FC kufuata Nyayo za Simba hii leo?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Namungo FC wawakilishi wa Tanzania katika michuano Kombe la Shirikisho la Afrika hii leo watakuwa ugenini nyumbani katika dimba la Azam Complex Chamazi kucheza mechi ya marudio ya kombe hili dhidi ya Al Rabita. 

Namungo wataingia katika mchezo huu wakiwa wametanguliza mguu mmoja hatua inayofuata kwani wana hazina ya magoli 3 - 0 waliyopata katika mechi ya kwanza. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad