NBA waondoa kipimo cha bangi kwa wachezaji mpira wa kikapu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Baada ya UN kuondoa bangi kutoka kwenye orodha ya madawa ya kulevya na kuutambua mmea huo kama tiba, NBA nao wameondoa kipimo cha bangi kwa wachezaji mpira wa kikapu.
Kwa mujibu wa ESPN, Mike Bass ambaye ndiye msemaji wa NBA, Jana Ijumaa ameeleza kuwa, "We have agreed with the NBPA to suspend testing for marijuana for the 2020-21 season and focus on other testing programs"

Sanjali na hilo, Msimu mpya wa ligi ya Kikapu Marekani (NBA) unatarajia kuanza Desemba 22, huku msimu mzima ukiwa na jumla ya michezo 72.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad