Ndugai Amwapisha Mbunge Mteule Aliyeteuliwa Kuwa Naibu Waziri wa Madini.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amemuapisha Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge wa Bunge hilo.


Profesa Manya ameteuliwa mapema hii leo na Rais John Magufuli kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na pia ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Madini.


Kabla ya uteuzi huo, Profesa Manya alikuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini Tanzania

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad