Nyota wa Kikapu nchini Marekani LeBron James Asaini Mkataba Mpya Lakers, Analipwa Shiling Milioni 11 Kwa Lisaa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa Kikapu nchini Marekani LeBron James amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na Los Angeles Lakers, mkataba wenye thamani ya ($85 million) ambao utamuweka kwenye timu hiyo hadi msimu wa mwaka 2022-2023.


Kwa mujibu wa ESPN, mkataba huu mpya unamuonesha LeBron James akilipwa kiasi kikubwa cha fedha kwa dakika hadi miaka miwili;


Kwa dakika 1 atakuwa akilipwa ($82) sawa na TSH. 190,158


Kwa Saa 1 atalipwa ($4,891) sawa na TSH. Milioni 11


Kwa Siku 1 atalipwa ($117,397) sawa na TSH. Milioni 272


Kwa Mwezi Mmoja atalipwa ($3.57M) sawa na TSH. Bilioni 9


Kwa Miaka 2 ya mkataba wake atalipwa ($85.7M) ambazo ni sawa na TSH. Bilioni 197

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad