Pongezi bado zinaendelea kumiminika kwa Seven Mosha, Ubalozi wa Marekani Wampongeza, Billboard Wamwandika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Pongezi bado zinaendelea kumiminika kwa Seven Mosha, Mtanzania ambaye ameteuliwa na kampuni ya Sony Music Entertainment Africa kuongoza kitengo cha masoko na maendeleo ya wasanii katika ukanda wa Afrika Mashariki.


Jana Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania walimpongeza Seven Mosha kwa hatua hiyo kubwa. Kupitia ukurasa wao wa twitter waliandika;

-

"Big congratulations to @sevenmosha for being promoted to a top job at @sonymusicafrica. A recognition of her talent and the vitality of Tanzania’s music scene. Hoping this is a step towards greater collaboration between Tanzanian and American musicians! " ilisomeka tweet hiyo.


Taarifa hii ya Seven Mosha pia imeandikwa kwenye tovuti ya Billboard, miongoni mwa tovuti kubwa za masuala ya muziki na chart mbali mbali za muziki wa dunia.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad