Rais Mwinyi Atengua utezi wa Katibu wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


 Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Katibu wa Rais Suleiman Ahmed Saleh.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Zanzibar Dkt. Abdulhamid Mzee imesema kuwa maamuzi hayo ya Rais yameanza leo Tarehe 14 Disemba 2020.


Taarifa hiyo imesema kuwa uamuzi hio wa Rais Mwinyi imetokana na uwezo aliopewa na katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kifungu cha 12(3) cha sheria ya utumishi wa umma namba 2 ya mwaka 2011.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad