Rubani wa Pili Kenya Airways Afariki wa Ugonjwa wa Corona, Alipata Changamoto za Upumuaji Akiwa Hotelini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kapteni Salah Salim Jeizan ambaye ni Rubani wa Shirika la Ndege la #KenyaAirways amefariki Dunia kutokana na Virusi vya Corona


Kapteni Jeizan (57) aliwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow, #London akitokea Kenya na alipata changamoto za upumuaji akiwa hotelini na kukimbizwa Hospitali

Anakuwa rubani wa pili wa KQ kufariki kwa #COVID19 baada ya Kapteni Daudi Kibati kufariki mwezi Aprili. Tangu kuanza kwa mlipuko huo nchini #Kenya, Watumishi mbalimbali wa sekta ya anga wamegundulika kuwa na maambukizi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. inna llilah wa inna ileyh Raj3n.
    Poleni ndugu zetu Wa Kenya.
    mungu amlaze peponi.. Ameen

    ReplyDelete

Top Post Ad