AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kapteni Salah Salim Jeizan ambaye ni Rubani wa Shirika la Ndege la #KenyaAirways amefariki Dunia kutokana na Virusi vya Corona
Kapteni Jeizan (57) aliwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow, #London akitokea Kenya na alipata changamoto za upumuaji akiwa hotelini na kukimbizwa Hospitali
Anakuwa rubani wa pili wa KQ kufariki kwa #COVID19 baada ya Kapteni Daudi Kibati kufariki mwezi Aprili. Tangu kuanza kwa mlipuko huo nchini #Kenya, Watumishi mbalimbali wa sekta ya anga wamegundulika kuwa na maambukizi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
inna llilah wa inna ileyh Raj3n.
ReplyDeletePoleni ndugu zetu Wa Kenya.
mungu amlaze peponi.. Ameen