Seneta apendekeza picha ya Diego Maradona kuwekwa kwenye fedha za Nchi hiyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Seneta Norma Durango amewasilisha muswada Bungeni nchini Argentina akipendekeza picha ya Legend wa soka Diego Maradona aliyefariki Novemba 25, iwekwe kwenye fedha za noti za Nchi hiyo (Peso 1,000 sawa na Sh 27,600.)
Durango amesema lengo ni kumuenzi nyota huyo kwa heshima aliyolipa taifa hilo mwaka 1986 baada ya kuwezesha Argentina kutwaa kombe la dunia.

Noti hiyo itaonyesha sura ya Maradona huku upande mwingine ikionyesha goli maarufu alilofunga kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Uingereza 1986.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad