Abbas Pira"Simba Atampiga FC Platnum GOLI 3 Bila, Wakawaida sana Wale"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchambuzi wa soka nchini, Abbas Pira amezungumzia uzito wa mchezo wa wawakilishi wa nchi katika Klabu bingwa Barani Afrika Simba dhidi ya FC PLatnum na kudai kuwa kwa mtazamo wake Mnyama Simba watapata matokeo mazuri ya magoli matatu (3) kutokana na wapinzani wao kutokuwa na kikosi cha kutisha.

”Simba watapata matokeo jijini Dar Es Salaam, hawa jamaa FC Platnum ni wakawaida sana. Kwangu mimi Simba atashinda magoli 3 Dar Es Salaam.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad