AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara Simba imeibamiza Ihefu mabao 4-0 katika uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam na kuzidi kuwafukuzia watani wao wa jadi Yanga katika vita ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo.
Magoli ya Simba yalifungwa na Hussein dakika 9 ya mchezo pamoja na Kagere aliyefunga mabao 2 mnamo dakika ya 15 na 40. Goli la mwisho likiwekwa kimyani na Mshambuliaji Mugalu dakika 84 na mpira kumalizaka Simba kuibuka mshindi wa mabao 4-0.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK