Stori Fupi ya Mchezaji Christian Ronaldo "Nilimwambia Baba Yangu Nataka Kuwa Kama Michael Jackson"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Anasimulia Kwamba ALIPOKUWA mdogo mwenye Umri wa Miaka 7 alikuwa anaongea na Baba Yake mzazi na kumwambia Baba nataka siku Moja nije kuwa na nyumba kubwa ya thamani kama Mtaalamu Michael Jackson.Baba akamwangalia Mwanaye na akamwambia kwamba Mwanangu ndoto Ni ndoto tu hilo swali haliwezekani Mwanangu maana ndoto Ni ndoto tu Mambo makubwa ni ya Watu wenye pesa tu Mwanangu.


Lakini CR7 anasimulia ya kwamba leo hii Nina miliki majumba na Nina maisha mazuri lakini Cha kushangaza Ni kwamba Baba yangu hayupo tenaa alikwishaaga Duniaa. Cr7 anatamani baba yakee angekuwepo Ili aone mafanikio yakee hii leo lakini baba yakee hayupo na wala hajashuhudia mafanikio hayo.


Never give up🤞

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad