Takukuru Yarejesha Mil 5.48 za Mwalimu Aliyetapeliwa na Qnet

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




TAASISI  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imemrejeshea Rose Mgomba, mwalimu wa Shule ya Msingi Lukaranga, Sh. milioni  5.48 ambazo alidhulumiwa na kampuni ya QNET kwa kumrubuni kwa ahadi za uwongo.

 

Mwalimu huyo aliahidiwa kutengeneza faida ya fedha maradufu baada ya kuwezeshwa kufungua akaunti ya ununuzi wa bidhaa za kampuni hiyo mtandaoni.

 

Mkuu wa TAKUKURU mkoani humo, Leonidas Felix,  amewataka wananchi na watumishi wa umma,  hasa walimu, wajiepushe kujiunga na biashara wasizokuwa na uhakika nazo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad