AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa muda sasa baada ya kupata kiharusi (stroke), DC Jokate amethibitisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK