AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji Tommy Lister maarufu ‘Tiny’ amefariki dunia, imeripotiwa kwamba alikutwa akiwa na hali mbaya kwenye apartment aliyokua anaishi na kuwaishwa Hospitali alikofia.
Polisi wa Los Angeles wamesema Marafiki zake walipatwa na wasiwasi kwa ukimya wake toka walipoachana nae siku ya Jumatano na baadae walivyofatilia wakakuta amefariki.
Pamoja na kwamba utafanyika uchunguzi, Polisi wamesema wanaamini kifo chake ni cha kawaida na hawadhani kama aliuwawa.
Lister amecheza kwenye movies mbalimbali ikiwemo za FRIDAY akitumia jina la Deebo, amefariki akiwa na umri wa miaka 62.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK