AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la uwezekano wa kunyesha mvua kubwa katika mikoa mitano ukiwamo wa Dodoma kuanzia kesho.
Angalizo hilo limetolewa leo Jumatano, Desemba 2, 2020 na mamlaka hiyo huku ikibainisha mikoa mingine ni Njombe, Rukwa, Songwe, Singida, Mbeya na Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, athari zinazoweza kujitokeza ni pamoja na makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK