Uchebe Amkumbuka Shilole Giza Limeingia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mfanyabiashara wa magari Uchebe amemkumbuka mke wake wa zamani Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole kwenye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake kwa kumwambia anamtakia maisha mema.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Uchebe amepost picha akiwa na Shilole enzi za mahusiano yao kisha akaandika 


"Happy birthday kwako Zuwena, nakutakia maisha mema na mafanikio zaidi kwenye kila harakati zako, enjoy your day mwenyezi mungu akutunze".


Haikuishia hapo kwani Shilole alifanya 'party' ya kufurahia kuongeza mwaka mwingine kwenye maisha yake ambapo kulitokea 'surprise' kibao ikiwemo kujiwazawadia gari jipya, kuvishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa zamani Rommy na kuzimia.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad