Wakazi Amshukia Babu TALE "Usiwasingizie Wafanyakazi wa Taasisi Kwamba Ndio Chanzo Cha Mapishano Yenu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ndugu @babutale kama umeamua kufunguka kuhusu machafu yanayotokea nyuma ya pazia kwenye tasnia, BASI FUNGUKA... Ila usiwasingizie wafanyakazi wa Taasisi kwamba ndio chanzo cha mapishano yenu, alafu unataka usihojiwe zaidi na ku-elaborate kwa kisingizio cha "mi muislamu".


Tasnia yetu ina mapungufu mengi, na kuna baadhi ya mapungufu hayo wewe mwenyewe ni chanzo chake. So usitake kutafuta huruma kwa watu na pia kukwepesha ukweli na uhalisia wa yaliyopita.


Tunajua mengi tu, ila tuna vifua vya kuweka akiba ya maneno, ila kama muda umefika wa kuiponya sanaa na tasnia ya Burudani, basi ijulikane na tuache unafiki wa kunyoosheana vidole. #TheLeader

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad