Wanafunzi 22 na mwalimu 1 wapigwa radi Songea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wanafunzi 22 na mwalimu mmoja wa shule ya msingi De Paul iliyopo kata ya Msamala Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, wamepigwa na radi leo Desemba 1, 2020.


RPC wa Ruvuma Simon Marwa amesema wanafunzi hao pamoja na mwalimu, wamepata mshtuko mkubwa na kukimbizwa hospitali ya mkoa huo kwa ajili ya kupata matibabu.


Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Songea, Pololety Komando Mgema, amewataka wazazi kuwa makini na watoto hasa kipindi hiki ambacho mvua zinanyesha na kuambatana na radi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad