Waziri Jumaa Aweso asimmishwa kazi Mkurugenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mkurugenzi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), David Palangyo amekuwa wa kwanza kuonja joto ya jiwe baada ya kusimamishwa kazi na Waziri wa Maji Jumaa Aweso.

Aweso amemsimamisha kazi Mkurugenzi huyo na kumuagiza Katibu Mkuu Mhandisi Anthony Sanga kumbadilisha kituo cha kazi Palangyo.


Aweso ambaye ameapishwa jana na Rais John Magufuli amesema haridhishwi na utendaji kazi Palangyo kwa kile alichodai kuwa Jiji la Dodoma linahitaji mtendaji mwenye kasi zaidi na kwamba Palangyo asubiri kupangiwa kazi nyingine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad