Wimbo Mpya wa Diamond Platnumz Wavunja Rekodi Africa iliyokuwa Imewekwa na Davido...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki nchini, msanii @diamondplatnumz amevunja rekodi ya kufikisha YouTube views Million 1 ndani ya muda mfupi zaidi kupitia video ya wimbo wake mpya "Waah" aliyomshirikisha @koffiolomide_officiel

Awali rekodi hiyo ilikua inashikiliwa na Mwanamuziki #Davido Kutoka nchini Nigeria.

#Diamond ameweka rekodi hiyo mpya baada ya kufikisha views Milion 1 ndani ya Masaa 8 TU. Kwa upande wa #Davido yeye alifikisha views Milion 1 ndani ya Masaa 9 pekee kupitia Video ya wimbo wake FEM.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad