50 Cent anataka kuingia ulingoni kuzichapa na Floyd Mayweather

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


50 Cent anataka kuingia ulingoni kuzichapa na Floyd Mayweather. Kwenye mahojiano yake kupitia V-103 "The Morning Culture", 50 Cent aliulizwa ni nani anataka kupigana naye kwenye pambano la masumbwi na hakusita kumtaja hasimu wake huyo wa muda mrefu.

"Nitapigana na Floyd. Lakini hofu yangu ipo kwenye uzito, sijui kama naweza kufanana naye." alisema rapa huyo na mfanyabiashara.

50 Cent aliwahi kuwa memba wa karibu na Mayweather na hata kuingia naye ulingoni siku ya pambano na Oscar De La Hoya. Wawili hao walikuja kupishana kutokana na kutokubaliana kibiashara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad