Adaiwa Kujichoma Moto Kwa Petrol Baada ya Kumfumania Mkewe na Njemba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Chikwisu, Mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki Dunia baada ya kujimwagia mafuta ya Petroli mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake


Mtoto wa marehemu, Msafiri Hashimu amesema, chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya kumfumania mke wake takriban wiki moja iliyopita na tangu hapo hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua


Taarifa ya Matibabu imesema, marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad