AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chikwisu, Mkazi wa Majengo Newala mjini amefariki Dunia baada ya kujimwagia mafuta ya Petroli mwilini na kujichoma huku kisa kikitajwa kuwa ni ugomvi wa kimapenzi na mke wake
Mtoto wa marehemu, Msafiri Hashimu amesema, chanzo cha Baba yake kufanya hivyo ni baada ya kumfumania mke wake takriban wiki moja iliyopita na tangu hapo hakuwa sawa hali iliyopelekea kujiua
Taarifa ya Matibabu imesema, marehemu aliungua kwa kiasi kikubwa kuanzia kichwani mpaka maeneo ya tumboni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK